• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe ya watumishi |
    • Malalmiko |
Korogwe District Council
Korogwe District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Mission and Vission
    • Core Value
    • Strategies
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasimali WAtu
      • Mipango na Takwimu
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha na biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira Na Taka Ngumu
    • Unit
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Habari na Mawasiliano Serikalini
  • Fursa Uwekezaji
    • Tourism
    • Bussness and Industrial
  • Huduma
    • Afya
    • Education
    • Maji
    • Kilimo
    • Livestock
    • Social Welfare
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Permanent Council Commitee
      • Kamati ya Fedha, Mipango na Uongozi
      • Community Services Committee (water,Education and Health)
      • Economic, Construction and Environment Committee
      • Integrity Committee
      • Council Multsectoral AIDS Committee
    • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
  • Miradi
    • Miradi Kusudiwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KOROGWE KATIKA MAKUSANYO YA MAPATO

Posted on: February 3rd, 2026

Pongezi hizo zimetolewa na Waheshimwa Madiwani wakati wa Baraza la kujadili Bajeti ya mwaka 2026-2027 lilifanyika leo tarehe 3 Februari 2026 katika ukumbi katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya korogwe uliyopo Makuyuni.

Katika Baraza hilo lililoudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Korogwe Mhe.Wiliam Mwakilema,Afisa Tarafa ya Mombo Ndg. Alex Mhando,Wataalamu wa Halmsahauri,TARURA,RUWASA na Wageni mbalimbali.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe Mhe.Selemani Mwongozo Aliwapitisha Washeshimiwa Madiwani katika bajeti hiyo kisha kuridhia kupitisha bajeti hiyo.

Sambamba na kupitisha Bajeti hiyo Mhe.Mwongozo alikaribisha maswali ya papo kwa papo kutoka kwa Wakala wa barabara za Vijijini (TARURA) na Mamlaka ya Maji RUWASA ambapo Waheshimiwa Madiwani waliuliza maswali mbalimbali na kutoa maoni juu ya huduma zinazotolewa na taasisi hizo.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mhe. Mwakilema alipata nafasi ya kuzungumza ambapo alitoa maelekezo juu ya Mpango wa suala la Bima ya Afya kwa wote ambapo utagharimu shilingi 150,000 kwa watu sita ikilenga kuwanufaisha Wananchi wote kwa ujumla.Pia Mkuu wa Wilaya ya Korogwe alisisitiza suala la kutunza mazingira katika vyanzo vya maji ili kundokana Na upungufu wa Maji unaowakabili Wananchi kwa sasa.Vile vile Mhe. Mwakilema alisisitiza suala la kulinda usalama  ambapo kila Raia anajukumu la kulinda usalama wa Nchi.

   

  

  

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MADEREVA March 02, 2026
  • View All

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE MKOA WA TANGA YAHITIMISHWA KOROGWE

    March 08, 2026
  • MHE.DOROTHY GWAJIMA AFANYA ZIARA HALMASHAURI YA WILAYA YA KOROGWE

    February 23, 2026
  • WALIMU SHULE ZA MSINGI WAPATIWA MAFUNZO YA KUINUA UFAULU WA SOMO LA HISABATI NA KIINGEREZA

    February 13, 2026
  • BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA KOROGWE KATIKA MAKUSANYO YA MAPATO

    February 03, 2026
  • View All

Video

MAFUNZO YA WALIMU MSINGI
More Videos

Kurasa za Karibu

  • Dira na Dhamira
  • Muundo wa Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Utumishi
  • Tamisemi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Serikali
  • Tanga Tovuti
  • Tovuti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana nasi

    Korogwe District Council

    Postal Address: P.o Box 584

    Telephone: 027- 2650017/2650061

    Mobile:

    Email: ded@korogwedc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Siri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Yetu
    • Huduma

Haki miliki©2016 KDC Haki zote zimehifadhiwa